King David

Psalm 144

King David
traduzione in Swahili Traduzioni 34 traduzioni Traduzioni 34
Aggiungi ai preferiti
Interpretato anche da:
Testi originali
Ebraico
Traduzione
Swahili

Psalm 144

‏ 1 לדוד ברוך יהוה צורי המלמד ידי לקרב אצבעותי למלחמה
 
‏2 חסדי ומצודתי משגבי ומפלטי לי מגני ובו חסיתי הרודד עמי תחתי
 
‏3 יהוה מה אדם ותדעהו בן אנוש ותחשבהו
 
‏4 אדם להבל דמה ימיו כצל עובר
 
‏5 יהוה הט שמיך ותרד גע בהרים ויעשנו
 
‏6 ברוק ברק ותפיצם שלח חציך ותהמם
 
‏7 שלח ידיך ממרום פצני והצילני ממים רבים מיד בני נכר
 
‏8 אשר פיהם דבר שוא וימינם ימין שקר
 
‏9 אלהים שיר חדש אשירה לך בנבל עשור אזמרה לך
 
‏10 הנותן תשועה למלכים הפוצה את דוד עבדו מחרב רעה
 
‏11 פצני והצילני מיד בני נכר אשר פיהם דבר שוא וימינם ימין שקר
 
‏12 אשר בנינו כנטעים מגדלים בנעוריהם בנותינו כזוית מחטבות תבנית היכל
 
‏13 מזוינו מלאים מפיקים מזן אל זן צאוננו מאליפות מרבבות בחוצותינו
 
‏14 אלופינו מסבלים אין פרץ ואין יוצאת ואין צוחה ברחבתינו
 
‏15 אשרי העם שככה לו אשרי העם שיהוה אלהיו
 

Mlango 144

1 Na ahimidiwe Bwana, mwamba wangu, Anifundishaye mikono yangu vita, Vidole vyangu kupigana.
 
2 Mhisani wangu na boma langu, Ngome yangu na mwokozi wangu, Ngao yangu niliyemkimbilia, Huwatiisha watu wangu chini yangu.
 
3 Ee Bwana, mtu ni kitu gani hata umjue? Na binadamu hata umwangalie?
 
4 Binadamu amefanana na ubatili, Siku zake ni kama kivuli kipitacho.
 
5 Bwana, uziinamishe mbingu zako, ushuke, Uiguse milima nayo itatoka moshi.
 
6 Utupe umeme, uwatawanye, Uipige mishale yako, uwafadhaishe.
 
7 Uinyoshe mikono yako toka juu, uniponye, Unitoe katika maji mengi, katika mkono wa wageni.
 
8 Vinywa vyao vyasema visivyofaa, Na mkono wao wa kuume ni mkono wa uongo.
 
9 Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya, Kwa kinanda chenye nyuzi kumi nitakuimbia.
 
10 Awapaye wafalme wokovu, Amwokoa Daudi, mtumishi wake, na upanga wa uovu.
 
11 Uniponye, unitoe, Katika mkono wa wageni. Vinywa vyao vyasema visivyofaa, Na mkono wao wa kuume ni mkono wa uongo.
 
12 Wana wetu na wawe kama miche Waliokua ujanani. Binti zetu kama nguzo za pembeni Zilizonakishwa kwa kupamba hekalu.
 
13 Ghala zetu na zijae Zenye akiba za jinsi zote. Kondoo zetu na wazae Elfu na makumi elfu mashambani mwetu.
 
14 Ng'ombe zetu na wachukue mizigo, Kusiwe na kushambuliwa. Wala kusiwe na kuhamishwa, Wala malalamiko katika njia zetu.
 
15 Heri watu wenye hali hiyo, Heri watu wenye Bwana kuwa Mungu wao.
 
expand collapse Translation details

His brother's name was Jubal; he was the father of all
who play stringed instruments and pipes. (Genesis 4:21)

SaintMark SaintMark
submitted on 13 Maggio 2017 - 20:27
Give a shoutout to SaintMark