Ruby (Tanzania)

Alele

Ruby (Tanzania)
Zu Favoriten hinzufügen
Arrow down
Arrow down

Alele

Its Bob Manecky...
Heeh yeaah...
 
Nikisema nitakufa kisa mapenzi
Moyoni nitamkosea
Wanayadhani nina ufa hakuna mwenzangu
Nyumba inamdondokea
 
Mi najua
Sina dhamani kwako utanikumbuka
Nishatenda wema
Mi nakwenda zangu utanikumbuka
 
Poleza na moyo we, mwaya we
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu, baba eh
Najua atalipiza
 
Pole sana moyo, mwaya
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu, baba
Najua atalipiza
 
Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo
 
Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo
 
Kwa mitaa jamaa anaandamana
Kweli mapenzi yanaliliwaa
Niliachaga drama na ujana
Eey yeaaah
 
Yalianzaga enzi
Ikanenaga na nafsi acha nivumilie
Jamani mapenzi
Yamekuwa hadithi acha nisimulie
 
Poleza na moyo we, mwaya we
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu, baba eh
Najua atalipiza
 
Pole sana moyo, mwaya
Najua amekuumiza
Ila yupo mungu, baba
Najua atalipiza
 
Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo
 
Alele, nishalia
Alele, nikaumia
Alele, sina dhamani kwako
Alele, mtima ulilia
Alele, maana wengine wapo
 
expand collapse Song details
ulissescoroa ulissescoroa
submitted on 27 Jan 2020 - 20:29
Give a shoutout to ulissescoroa