Harmonize

Jeshi

Harmonize
Zu Favoriten hinzufügen
Arrow down
Arrow down

Jeshi

Yao Yao
Oh nah nah nah
Mmmh
 
Sometimes what you dream can't be receiving
Na huwezi kuvuna usichokipanda
Thanks God for giving
 
Ghetto sikuwa na umeme wala cable
Jeans moja T-Shirt na yebo
Ati leo namiliki lebo
Lebo, Konde Gang lebo
 
Siku zote kisicho kuua
Kitakufanya uwe ngangari
Ata mwanga huwezi kumjua
So ishi nao kwa tahadhari
 
My sister siku hizi shape ananunua
We pambana upate salary
Ila usisahau pesa maua
So ukikosa hata usijali
 
One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii
 
Three love kwa Master na Lita
Mlinifanya hasira zizidii
Four love, njia ngumu nilizopita
Mkanipa na jina mkasema niitwe
 
Jeshi! Konde boy Jeshi!
Na hizi wananiita Tembo
Jeshi! hata we ni Jeshi!
Yaani kama huna pigo za kirembo
 
Ni Jeshi! Konde boy Jeshi!
Yaani wanangu wananiita Tembo
Jeshi! hata we ni Jeshi!
Yaani kama huna pigo za kirembo ni jeshi
 
One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii
 
Ninaamini Mungu yupo
Tena Naongea nae japo sisikii sauti yake
Nikianguka ntainuka tena
So usishangae why Tembo anahustle peke yake
 
Coz I know, unapokiokota
Ndo wakati wakutunza Ili kesho kisije potea
Na unaposota ndo wakati wa kujifunza
Ili ujue wapi ulipokosea
 
Sio kama siwezi kujibizana
Ila mwenzenu nimeumbwa na subra
Eey, cheki madili yanavyogogana
Coz nina nyota ya Libra
 
Mbona siwaoni walotumwa kunitukana
Vichwa vyao viko kibra
Tena siku hizi siimbi sana
Acha washindane na Ibrah
 
I say One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii
 
Three love kwa Master na Lita
Mlinifanya hasira zizidii
Four love, njia ngumu nilizopita
Mkanipa na jina mkasema niitwe
 
Jeshi! Konde boy Jeshi!
Na hizi wananiita Tembo
Jeshi! hata we ni Jeshi!
Yaani kama huna pigo za kirembo
 
Ni Jeshi! Konde boy Jeshi!
Yaani wanangu wananiita Tembo
Jeshi! hata we ni Jeshi!
Yaani kama huna pigo za kirembo ni jeshi
 
One love kwa wanangu wa kitaa
Nyie ndo mnanunua CD
Two love kwa wanafiki wa Insta
Mnafanya niongeze bidii
 
Konde Boy!
 
expand collapse Song details
ulissescoroa ulissescoroa
submitted on 17 Aug 2020 - 20:27
Give a shoutout to ulissescoroa
Urheberrecht:
Writer(s): Harmonize Harmonize
Lyrics powered by www.musixmatch.com